• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

RAS TANGA 'AWASHUKIA' WATUMISHI WANAOISHI NJE YA VITUO VYA KAZI

Imewekwa tarehe: June 18th, 2025

Na Mwandishi Wetu, OMM TANGA

KATIBU Tawala Mkoa (RAS) wa Tanga, Pili Mnyema amewataka watendaji wa halmashauri za mkoa huo kukaa ndani ya maeneo na vituo vyao vya kazi, ili kurahisisha utendaji kazi na kuwahudumia wananchi kwa karibu na ufanisi zaidi.

Mnyema, amesema hayo wakati akizungumza kwenye Mkutano wa Baraza Maalumu la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga wa kupitia hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

'Unapovutiwa kwenda kukaa eneo tofauti na unapofanyakazi, akili yako hautaielekeza kwenye eneo unalofanyia kazi, muda mwingi utakuwa unawaza niwahi kutoka, niwahi kurudi nyumbani, lakini pia utachelewa kuingia ofisini na muda wa kufikiri mipango mizuri ya kuimarisha halmashauri utapungua," amesema

Akiwa kwenye baraza la Halmashauri ya Jiji la Tanga, Mnyema amewataka watendaji kufanya kazi kwa uaminifu, uadilifu na kujituma katika kipindi ambacho mabaraza ya madiwani yatavunjwa ili kupisha mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa 2025.

"Niwaagiza watumishi, katika kipindi ambacho mabaraza ya madiwani yatavunjwa, mfanyekazi kwa uaminifu, uadilifu, kujitoa kwa nguvu na akili zaidi ili kuhakikisha mipango mliyoiweka wakati madiwani wapo inakwenda kwa kasi kubwa, ili wakirudi wasikute jambo lolote limekwama,”amesema.

Pia, Mnyema ameonya kuwa watumishi hao wasitumie hali ya kutokuwepo kwa madiwani kama fursa hii kufanya mambo yasiyofaa kwa sababu madiwani ambao ni mfano wa jicho linalowaangalia wameondoka.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RC TANGA AMKABIDHI GARI MPYA MKUU WA WILAYA YA HANDENI

    July 12, 2025
  • RAS TANGA ASISITIZA UWEKEZAJI KWENYE MALEZI, MAKUZI YA MTOTO

    July 09, 2025
  • PINDA AHIMIZA USHIRIKIANO ENDELEVU WA SERIKALI, WANANCHI

    July 09, 2025
  • SARUJI TANGA YAKABIDHI BAJAJI ZA UMEME 10 KWA BALOZI BATILDA

    July 03, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.