• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

Shule ya Msingi Pongwe ya karabatiwa miundombinu yenye thamani ya Tshs Milioni 220 na NGO

Imewekwa tarehe: October 10th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Tanga Omary Mgumba amekabidhiwa Shule ya Msingi ya Mahitaji Maalum ya Pongwe Jijini Tanga, iliyofanywa ukarabati mkubwa wa miundombinu yenye thamani ya Tshs.Milioni 220 kwa msaada wa Taasisi ya Lady Feteemah Trust kutoka nchini Uingereza.

Akiishukuru Taasisi hiyo katika sherehe fupi ya kukabidhiwa (Jana jumapili Oktoba 9, 2022) Mkuu huyo alisema kuwa hakika ukarabati huo utaboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum pamoja na walimu hapa shuleni.

Serikali inayoongozwa na Rais Samia Hassan inawashukuru kwa ukarabati mkubwa wa madarasa 16, kiwanja cha Goal Ball, Bwalo la chakula na jiko, chumba cha huduma ya kwanza, ujenzi wa madarasa 2 mapya, kisima kirefu cha maji, sehemu ya kuchezea watoto walemavu na matundu 5ya  vyoo vya walimu" ameshukuru Mgumba.

Amesema kwa hilo Serikali inatambua msaada huo na kwamba miundombinu hii itatunzwa ili iweze kudumu kwa kipindi kirefu.

"Natoa wito kwa viongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Jiji la Tanga pamoja na jamii yote ya shule ya msingi kuhakikisha tunaitunza vyema miundimbinu hii iweze kudumu, watoto wetu wa some katika mazingira mazuri" alisisitiza zaidi.

Shule ya msingi Pongwe ambayo kwa sasa ina jumla ya wanafunzi 1212, ni miongoni mwa shule kongwe nchini ikiwa imeanzishwa mwaka 1946.

Mwisho

Matangazo

  • HOTUBA YA MKUU WA MKOA WA TANGA MHE. WAZIRI WAZIRI KINDAMBA KATIKA HAFLA YA UFUNGUZI WA KONGAMANO LA UWEKEZAJI NA UZINDUZI WA MWONGOZO WA FURSA ZA UWEKEZAJI MKOA WA TANGA 16/11/2023 November 27, 2023
  • HOTUBA YA MKUU WA MKOA WA TANGA MHE. WAZIRI KINDAMBA KATIKA HAFLA YA UFUNGUZI WA MAFUNZO KWA WALIMU WA TAALUMA MKOA WA TANGA KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA NECTA YALYOFANYIKA UKUMBI WA SHULE YA SEKONDARI GALANOS TAREHE 09/11/2023 November 28, 2023
  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RC Kindamba amaliza mgororo wa miaka 17

    September 16, 2023
  • WATAHINIWA 65,955 WAANZA MITIHANI

    September 14, 2023
  • RC TANGA ATAKA MAENEO YENYE MIGOGORO YASIUZWE

    May 19, 2023
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 171 KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI KOROGWE ,TANGA

    May 17, 2023
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.