• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

HANDENI YAKAMILISHA MADARASA

Imewekwa tarehe: December 15th, 2022

SERIKALI mkoani Tanga imepokea jumla ya madarasa mapya 77 yaliyojengwa na Halmashauri ya Wilaya na ya Mji Handeni yenye thamani ya Shs. Bilioni 1.540  ambapo ujenzi wake umekamilika wiki mbili kabla ya muda uliyopangwa tarehe 15 Desemba 2022.

Madarasa hayo yatawawezesha wanafunzi wapya zaidi 8000 wanaotarajia kujiunga na kidato cha kwanza 2023 waweze kuanza masomo yao.

Akizungumza na viongozi wa Wilaya hiyo katika Shule ya  Sekondari Mkata, Mkuu wa Mkoa wa Tanga Omary Mgumba mara baada ya kuikagua shule hiyo na kuzindua Shule hizo ameipongeza Wilaya hiyo kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa wakati kabla ya muda uliotangazwa na TAMISEMI wa Desemba 15 mwaka 2022.

Amesema baada ya kufuatilia ujenzi huo Wilayani hapo ameridhika na ujenzi wa viwango, uliyokamilika kwa muda muaafaka na kwa thamani ya fedha.

" Hongera sana Mkuu wa Wilaya ya Handeni Seriel Mchembe kwa kuwa wa kwanza kukabidhi madarasa mapya na nataka  Halmashauri nyingine kuiga mfano huo pamoja na kubakisha chenji kuongeza sehemu ya ofisi ya walimu na vyoo" akisisitiza zaidi.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Handeni Siriel Nchembe amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kiasi hicho cha fedha ambazo zimekamilisha  ujenzi wote wa vyumba vya madarasa kwa wakati.

Aidha ametaja siri ya Wilaya kuwa wa kwanza kukabidhi madarasa kwa wakati, ni ushirikiano uliofanywa na viongozi wa Wilaya hasa Maafisa Watendaji na Tarafa.

"Nashukuru Mkuu wa Mkoa wa Tanga ushauri wake tuliufanyia kazi na ndio tukawapa madaraka maalum maafisa watendaji na Tarafa ndio haya matokeo ya kazi kukamilika kabla ya wakati na viwango hadi tailes madarasani"

Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA SHULE ZILIZOPO MKOA WA TANGA 2021 December 21, 2020
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI -FIRST SELECTION 2022 May 14, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WATUMISHI OFISI YA MKOA WA TANGA WATEMBELEA MBUGA YA MKOMAZI

    December 23, 2022
  • SERIKALI WILAYA YA KOROGWE YAMPONGEZA MH.SAMIA SULUHU HASSAN

    December 15, 2022
  • MKUTANO WA TATU WA WADAU WA SEKTA YA MKONGE WAFANYIKA TANGA

    December 15, 2022
  • HANDENI YAKAMILISHA MADARASA

    December 15, 2022
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.