• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

Huduma za Afya


Serikali imeendelea kuboresha sekta ya Afya kwa kuongeza upatikanaji wa dawa, vifaa, na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za Afya. Aidha, bajeti ya Mkoa kwa ajili ya kugharimia ununuzi wa dawa, chanjo, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi imeongezwa kutoka shilingi bilioni 1.8 mwaka 2015/2016 na kufikia shilingi bilioni 8.7 mwaka 2019/2020.


 Hili ni ongezeko la shilingi bilioni 6.9 sawa na asilimia 79.3. Kwa upatikanaji wa dawa muhimu (Essential medicines) kwa mwaka 2015/2016 ulikuwa asilimia 92 na kwa mwaka 2019/2020 ni asilimia 95 na upatikanaji wa dawa viashiria (Tracer medicines) kwa mwaka 2015/2016 ulikuwa asilimia 94.4 ikilinganishwa na asilimia 98 kwa mwaka 2019/2020 katika vituo vya kutolea huduma za afya vya Mkoa.


Sambamba na upatikanaji wa dawa muhimu, Hadi kufikia mwaka 2015 Mkoa wa Tanga ulikuwa na vituo vya kutolea huduma 369; Hospitali 10, vituo vya Afya 38 na Zahanati 321. Kwa kipindi cha mwaka 2019/2020 Mkoa wa Tanga una vituo vya kutolea  huduma 400; ambapo Hospitali zipo 11, vituo vya Afya 41, Zahanati 348.  Aidha, Mkoa wa Tanga tumepokea Sh. Billion 14.1  kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali tatu za Wilaya ya Tanga Jiji, Muheza na Korogwe Vijijini na vituo vya Afya 22.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RAS MCHATTA: SINA MANENO MENGI, NIPIMENI KWA KAZI, UWAJIBIKAJI

    June 30, 2025
  • BALOZI BATILDA AAGIZA WAKUU WA WILAYA KUSIKILIZA KERO, AWAAPISHI WAWILI TANGA

    June 30, 2025
  • RC BATILDA ATAKA MAADILI, UTAWALA BORA KUIMARISHWA SERIKALINI

    June 25, 2025
  • MIAKA MINNE, SIKU 23 ZA RAS MNYEMA TANGA, AHAMISHIWA PWANI

    June 24, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.