• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

Maji

Sekta ya maji imeweka mikakati ya kupunguza kero ya upatikanaji wa maji safi na usafi wa mazingira kwa kuboresha huduma ya upatikanaji wa maji safi kutoka wastani wa asilimia 61 hadi 90 na usafi wa mazingira kutoka wastani wa asilimia 75 kwenda 100. Hata hivyo imeweza kupunguza kero ya upatikanaji maji kwa wananchi wa Tanga zaidi ya asilimia 57.2 kwa kupata huduma hii chini ya umbali wa mita 400. 

Wakazi wa vijijini 1,006,775 kati ya 1,864,361 sawa na asilimia 54 wamepata huduma ya maji. Wakazi wa jiji la Tanga 189,747, kati ya 213,199 sawa na asilimia 89 wanapata huduma ya maji, na wakazi wa Miji Mikuu ya Wilaya na Mji Mdogo wa Mombo 94,282 kati ya 181,199 sawa na asilimia 52 wanapata pia huduma ya maji.

Mkoa una miradi mikubwa miwili inayosimamiwa na Mamlaka ya Kitaifa Handeni Trunk Main na mradi wa maji wa Jiji la Tanga unaosimamiwa na Mamlaka ya Maji na Mazingira (TANGA UWASA). Zipo pia mamlaka za mji zilizopo miji mikuu ya wilaya zinazotoa huduma kulingana na Sheria zilizopo ikiwemo Sheria namba 5 ya mwaka 2019. Miradi 4869 yenye jumla ya vituo 5369 vya kuchotea maji vinahudumia watu katika maeneo ya vijiji katika Mkoa wa Tanga na inasimamiwa na RUWASA ngazi ya wilaya kwa kushirikiana na jumuia za watumia maji katika ngazi ya vijiji.

Kufikia Desemba 2019 jumla ya miradi 51 yenye gharamaza Sh. bilion 26,377,712,131 imekwishakamilika, miradi hiyo iko katika wilaya za Lushoto, Mkinga, Muheza, Pangani, Tanga , Handeni, Kilindi na Korogwe na miradi 28 yenye gharama za Sh. Billion 26,920,062,619.16 inaendelea kutekelezwa katika wilaya mbalimbali yenye uwezo wa kuhudumia watu wapato 197,073 baada ya kukamilika kwake.

 

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RAS MCHATTA: SINA MANENO MENGI, NIPIMENI KWA KAZI, UWAJIBIKAJI

    June 30, 2025
  • BALOZI BATILDA AAGIZA WAKUU WA WILAYA KUSIKILIZA KERO, AWAAPISHI WAWILI TANGA

    June 30, 2025
  • RC BATILDA ATAKA MAADILI, UTAWALA BORA KUIMARISHWA SERIKALINI

    June 25, 2025
  • MIAKA MINNE, SIKU 23 ZA RAS MNYEMA TANGA, AHAMISHIWA PWANI

    June 24, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.