• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

Education

Tunampongeza Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuendelea kuboresha na kutekeleza mpango wa utoaji elimu bila malipo. Kuanzia kuanza kwa Mpango huu Mkoa umepokea kiasi cha shilingi 49,587,684,178.20  (bilioni49.6) kama ruzuku ya uendeshaji wa shule za msingi na sekondari na posho ya madaraka. 

Hadi kufikia Disemba 2019, Mkoa umepokea kiasi cha shilingi 13,113,302,816.42 (bilioni 13.1) kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu na ukarabati wa shule kongwe za Usagara, Korogwe girls, Tanga Tech na Mkwakwani.

Uandikishaji wa wanafunzi katika ngazi zote umeongezeka kuanzia mwaka 2015 hadi 2019. Awali mwaka 2015 walioandikishwa walikuwa 64,153 ukilinganisha na mwaka 2019 waliandikishwa wanafunzi 71,306 sawa na ongezeko la asilimia 11.1. Uandikishaji wa darasa la kwanza mwaka 2015 waliandikishwa wanafunzi 65,000 ukilinganisha na mwaka 2019 walioandikishwa walikuwa wanafunzi 67,524 sawa na ongezeko la asilimia 3.8.

Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Kidato cha kwanza mwaka 2015 walikuwa 26,261 ukilinganisha na mwaka 2019 walikuwa 35,728 sawa na asilimia 36.05. Hali hii ya ongezeko inatokana na utekelezaji wa mpango wa utoaji elimu bila malipo.Wazazi wengi wamepeleka watoto wao shule.

Ufaulu katika Mkoa kwa upimaji wa darasa la nne kwa mwaka 2019 ulikuwa waasilimia 91.35 sawa na upungufu wa asilimia 2.14 kutoka asilimia 96.50 za mwaka 2018. Matokeo ya Mtihani wa kumaliza darasa la saba ufaulu ulikuwa wa asilimia 76.44 kutoka asilimia 72.7 ya mwaka 2018 sawa na ongezeko la asilimia 3.74. Matokeo ya upimaji wa kidato cha pili ufaulu ulikuwa ni asilimia 86.04 kwa mwaka 2019 ambapo ni upungufu wa asilimia 0.45 kutoka asilimia 86.49 ya mwaka 2018.

Aidha, matokeo ya mitihani ya kumaliza kidato cha nne ufaulu ulikuwa wa asilimia 72.97 kwa mwaka 2019 sawa na upungufu wa asilimia 1.45 kutoka asilimia 74.42 za mwaka 2018.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RAS MCHATTA: SINA MANENO MENGI, NIPIMENI KWA KAZI, UWAJIBIKAJI

    June 30, 2025
  • BALOZI BATILDA AAGIZA WAKUU WA WILAYA KUSIKILIZA KERO, AWAAPISHI WAWILI TANGA

    June 30, 2025
  • RC BATILDA ATAKA MAADILI, UTAWALA BORA KUIMARISHWA SERIKALINI

    June 25, 2025
  • MIAKA MINNE, SIKU 23 ZA RAS MNYEMA TANGA, AHAMISHIWA PWANI

    June 24, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.