• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

EACOP YAELEZA MAENDELEO YA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI

Imewekwa tarehe: November 25th, 2025

EACOP YAELEZA MAENDELEO YA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mhe Balozi Dkt Batilda Burian, amekutana na timu ya Mahusiano na Jamii kutoka Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP), kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali ya utekelezaji wa mradi huo.

Timu hiyo iliwasilisha hatua za utekelezaji wa mradi na kumtambulisha mkandarasi kutoka kampuni ya Sheria Kiganjani, atakayesimamia mradi wa kuwawezesha vijana kiuchumi katika wilaya za Tanga, Muheza na Korogwe.

Wanufaika wakuu wa mradi huo ni vijana 679 waliopo kwenye vikundi, na wenye ujuzi wa fani mbalimbali watakaondelezwa kupitia VETA na SIDO. Katika utekelezaji wa mradi huo ambapo hadi sasa , wamepatikana vijana 560.

Afisa Mahusiano ya Jamii wa EACOP, Daniel Semkiwa, amesema utekelezaji unaendelea vizuri ukihusisha ujenzi wa matenki uliofikia asilimia 85, kazi ya jet imefikia asilimia 84 na ujenzi wa terminal asilimia 45.

Aidha, amesema EACOP inaendelea kutekeleza mradi wa Uboreshaji Maisha ya Waguswa (MKUBA) katika maeneo ya Chongoleani na Putin, ambapo jumla ya vikundi 16 vimeundwa na vitapewa Shilingi milioni 33.6 kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao za kiuchumi.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • EACOP YAELEZA MAENDELEO YA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI

    November 25, 2025
  • GCUs WATAKIWA KUTUMIA HABARI KUCHAGIZA TABASAMU KWA WATANZANIA

    November 21, 2025
  • BALOZI BATILDA AWAONGOZA MAELFU KUPIGA KURA TANGA

    October 29, 2025
  • MAAFISA BIASHARA TANGA 'WAJIFUNGIA' KUJADILI UWEKEZAJI, VIWANDA

    October 03, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.