• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

AGIZO LA RAIS SAMIA KUHUSU KLINIKI YA ARDHI LATEKELEZWA KILINDI

Imewekwa tarehe: March 11th, 2025

Na Mwandishi Wetu, KILINDI

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Lucy Kabyemera amewataka wakazi wa wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, kuheshimu mpango wa matumizi Bora ya ardhi ili kuepuka migogoro ya ardhi kwenye maeneo yao.

Kabyemera ametoa kauli hiyo katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kijiji cha Mswaki wilayani Kilindi, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maagizo ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Tanga kuanzia Februari 23 hadi Machi 1, 2025.

Akiwa kwenye ziara hiyo, pamoja na mambo mengine, Mhe Rais Dkt Samia, alimuagiza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe Deogratius Ndejembi, kuifikisha huduma ya kliniki ya ardhi wilaya Kilindi, ikiwa ni njia muafaka ya kupatikana suluhu ya kudumu ya migogoro ya ardhi hasa kati ya wakulima na wafugaji.

Kliniki ya ardhi imefanyika kwenye kijiji cha Mswaki ambapo Kabyemera amesema, Wizara hiyo itatuma timu ya wataalamu wilayani humo, kuhakikisha maeneo ambayo hayapangwa kwa matumizi bora ya ardhi, yapangwe.

Kabyemera, amewahimiza wananchi wilayani humo kutumia ardhi kama ilivyopangwa, ili waishi kwa amani na kuendelea na shughuli za maendeleo.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • SARUJI TANGA YAKABIDHI BAJAJI ZA UMEME 10 KWA BALOZI BATILDA

    July 03, 2025
  • RC TANGA ASULUHISHA MGOGORO WA ARDHI TAFSIRI HASI YA RAMANI IKITAJWA CHANZO

    July 03, 2025
  • RAS MCHATTA: SINA MANENO MENGI, NIPIMENI KWA KAZI, UWAJIBIKAJI

    June 30, 2025
  • BALOZI BATILDA AAGIZA WAKUU WA WILAYA KUSIKILIZA KERO, AWAAPISHI WAWILI TANGA

    June 30, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.