• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

MAONESHO YA BIASHARA NA UTALII TANGA YAIBUA FURSA MPYA KWA WAWEKEZAJI

Imewekwa tarehe: June 2nd, 2025

Na Emma Kigombe,  OMM Tanga

MKOA wa Tanga umetenga maeneo maalum kwa ajili ya uwekezaji katika sekta ya viwanda na hoteli, hatua inayolenga kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.

Maeneo hayo ni pamoja na Pingoni, Amboni na Mzingani, ambayo yameainishwa kuwa fursa adhimu kwa wawekezaji `kuyachangamkia’.

Akizungumza katika ufunguzi rasmi wa Maonyesho ya 12 ya Biashara na Utalii yanayoendelea jijini Jiji la Tanga kuanzia Mei 28 hadi Juni 6, 2025, Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe Balozi Dkt Batilda Burian amesema mkoa huo umejipanga kikamilifu kuweka mazingira bora ya uwekezaji.

Hotuba ya Mhe Balozi Dkt Batilda, imetolewa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Mhe Dadi Kolimba, akisema, mkoa una maeneo mengi yenye mvuto kwa uwekezaji, hususan katika sekta ya viwanda, na kwamba juhudi zinaendelea kuboresha miundombinu ya msingi ikiwemo barabara, maji, umeme na huduma za mawasiliano.

“Tunawahamasisha wafanyabiashara, wawekezaji pamoja na taasisi za umma na binafsi kutumia maonyesho haya kama jukwaa la kujifunza, kushirikiana na kutangaza bidhaa na huduma zao,” amesema.

Serikali ya Mkoa imeahidi kuendelea kuimarisha mazingira rafiki kwa wafanyabiashara na wawekezaji ili kukuza uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BALOZI BATILDA AHIMIZA UMOJA, MSHIKAMANO TANGA

    June 18, 2025
  • RAS TANGA 'AWASHUKIA' WATUMISHI WANAOISHI NJE YA VITUO VYA KAZI

    June 18, 2025
  • BILIONI 1.9 ZINAVYOIINGIZA TANGA KWENYE MALIPO YA KABLA YA MATUMIZI YA MAJI

    June 17, 2025
  • MWENGE WAONYA: MSIHARIBU MIUNDOMBINU, SERIKALI HAIJALALA

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.