• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

Naibu Waziri wa Mifugo azulu Tanga

Imewekwa tarehe: February 20th, 2023

Na Emma Kigombe


Waziri wa mifugo na uvuvi Abdallah Ulega  amevikabidhi  kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe Omary Mgumba vitua  vitatu atamizi vya mifugo  viwili kutoka Chuo cha mifugo  Buhuri na kimoja kutoka taasisi ya utafiti wa mifugo Taliri  ikiwa ni jitahada ya Serikali kuwawezesha vijana kupata mafunzo kwa vitendo yatakayowawezesha  kujiajjiri na kuajiri wengine.


Ulega amekabidhi vituo hivyo mara baada ya kuwasili mkoani humo tayari kwa kuanza ziara yake ya siku tatu ya kutembelea miradi ya uvuvi na mifugo katika wilaya ya Tanga, Pangani, Muheza, Handeni na Kilindi.


Akizungumza Naibu waziri wa mifugo na uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema  vituo hivyo vipo mahususi kwa ajili ya kutengeneza wafugaji mahili watakaoenda kufuga kibiashara.


"Hapa tunavituo vitatu tumeviweka katika Mkoa wako wa Tanga na leo naomba nivitambulishe na kukukabidhi  kwa ufuatilaji wa kimaendeleo, hivi ni vituo atamizi vya mifugo vyote vitatu vipo hapo viwili vipo Chuo cha Buhuri na kimajo kipo katika taasisi ya mifugo Taliri  vituo hivi vinatengeneza wafugaji mahili wa kesho wenye mipango mikakati  ya kutengeneza watu ambao watakwenda kufuga kibiashara  anenepeshe apeleka sokoni mali iliyo na ubora" alisema Ulega.


Ulega ameeleza kuwa kabla ya kuanza kwa mradi huo wa kuwawezesha vijana walitoa matangazo na takribani vijana 600 walijitokeza lakini lengo la serikali lilikuwa kuwapata vijana 240 na katika Mkoa wa Tanga umetoa vijana 90.


"Huu mradi wa wizara unaohusisha mafunzo kwa vitendo namna ya kuandaa shamba (malisho) wale kazi yao tunaanza kuwaelekeza toka mwanzo hatua za uandaaji  kisha uandaaji wa banda bora kwa hiyo toka siku ya kwanza anafundishwa kwa vitendo" aliongeza Ulega.


Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Tanga Mhe Omary Mgumba ameishukuru Serikali kupitia wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kuwekeza katika miradi mingi katika sekta hiyo na kuahidi kuisimamia kwa ukaribu  ili kuyaona matokea ya uwekezaji huo.


" Huu mfumo mliouweka wa atamizi wa vijana kuwakusanya pamoja ma kukaa mwaka mzima kwa ajili ya elimu ya vitendo ni jambo kubwa sana na vijana ninauwakika baada ya kutoka pale wataweza kujiajiri wenyewe " alisema Mgumba


Pia Mgumba amesema kuwa dhamira ya Rais   Dkt. Samia na Serikali yake ni kubadilisha ufugaji wa kujikimu na kwenda ufugaji wa kibiashara  hivyo kupitia vituo hivyo kutasaidia vijana kubadili fikra na kujikita katika ufugaji wa biashara. 

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE)2023 January 25, 2024
  • HOTUBA YA MKUU WA MKOA WA TANGA MHE. WAZIRI WAZIRI KINDAMBA KATIKA HAFLA YA UFUNGUZI WA KONGAMANO LA UWEKEZAJI NA UZINDUZI WA MWONGOZO WA FURSA ZA UWEKEZAJI MKOA WA TANGA 16/11/2023 November 27, 2023
  • FORM ONE SELECTION 2024 December 20, 2023
  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HISTORIA YAANDIKWA, HANDENI YAPATA CHUO CHA UUGUZI NA UKUNGA

    May 04, 2025
  • SPIKA BWZ AGAWA MITUNGI YA GESI 61 KUADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO

    April 27, 2025
  • SPIKA BWZ ATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 8 TANGA

    April 26, 2025
  • MILIONI 100 ZATOLEWA KUBORESHA SOKO LA NGAMIANI TANGA

    April 26, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.