• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

RC TANGA ATAKA MAENEO YENYE MIGOGORO YASIUZWE

Imewekwa tarehe: May 19th, 2023

RC TANGA ATAKA MAENEO YENYE MIGOGORO YASIUZWE

Na Emma Kigombe

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Waziri Kindamba amepiga marufuku uuzwaji wa ardhi kiholela na usio rasmi katika maeneo yenye migogoro.

Mhe Kindamba amepiga marufuku hiyo wilayani Kilindi wakati akikagua eneo la mpaka wa kijiji cha Gitu na kijiji cha Ngobole kilichopo wilayani Simanjiro ambalo limekuwa na changamoto ya mgogoro wa ardhi kwa takribani miaka 17 ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kutembelea wilaya zote za mkoa huo na kuzungumza na watumishi pamoja na kamati ya fedha na uongozi.

“Haya maeneo  yenye mgogoro yasiuzwe, lakini zipo taarifa zinazoonesha haya maeneo yenye mgogoro yanauzwa peleka ujumbe huu kwa wote wanaohusika yeyote atakaye uza na tukathibitisha tutamchukulia hatua kwa mujibu wa sheria taratibu na kanuni hatutaangalia ukubwa wake wala cheo chake” alisema RC Kindamba

Aidha Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Waziri Kindamba akatumia nafasi hiyo kuwataka wakuu wa wilaya kuwachukulia hatua kali za kisheria viongozi wa Kijiji na kata ambao wanahusika kuuza ardhi bila ya kufuata utaratibu uliowekwa kisheria.

“kiongozi yoyote ambae atathibitika kwa makusudi kuuza kwa mara ya pili maeneo ambayo yanamigogoro ya ardhi hatutamuonea haya tutamchukulia hatua” aliongeza Rc Kindamba.

Katika hatua nyingine Mkuu wa mkoa wa Tanga mhe. Waziri Kindamba amewataka viongozi wilayani Kilindi kukaa na kumaliza migogoro ndani ya wilaya yao ikiwemo  migogoro ya Kijiji na Kijiji na wilaya kwa wilaya  ili kuepuka  kupoteza muda mwingi kufanya suluhu na badala yake kujikita katika utekelezaji wa miradi  ya maendeleo kwa manufaa ya wananchi.

“mpaka kufikia Julai mosi mwaka huu 2023 nataka kusikia migogoro yote iliyopo baina ya kijiji na kijiji, wilaya kwa wilaya inamalizika ili mwaka mpya wa fedha unapoanza tujikite katika masuala ya maendeleo” alisema Rc Kindamba

Wilaya ya kilindi ni ya Saba kutembelewa na mkuu wa mkoa wa Tanga Mhe. Waziri Kindamba tangu alipoanza ziara yake tarehe 3 Mei  2023.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE)2023 January 25, 2024
  • HOTUBA YA MKUU WA MKOA WA TANGA MHE. WAZIRI WAZIRI KINDAMBA KATIKA HAFLA YA UFUNGUZI WA KONGAMANO LA UWEKEZAJI NA UZINDUZI WA MWONGOZO WA FURSA ZA UWEKEZAJI MKOA WA TANGA 16/11/2023 November 27, 2023
  • FORM ONE SELECTION 2024 December 20, 2023
  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HISTORIA YAANDIKWA, HANDENI YAPATA CHUO CHA UUGUZI NA UKUNGA

    May 04, 2025
  • SPIKA BWZ AGAWA MITUNGI YA GESI 61 KUADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO

    April 27, 2025
  • SPIKA BWZ ATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 8 TANGA

    April 26, 2025
  • MILIONI 100 ZATOLEWA KUBORESHA SOKO LA NGAMIANI TANGA

    April 26, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.