• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

BALOZI BATILDA AWAKUTANISHA VIONGOZI WA DINI KWENYE IFTAR, AWASIHI KUDHIBITI, KUKEMEA MAOVU

Imewekwa tarehe: March 30th, 2025

Na Mashaka Mgeta, OMM TANGA


MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mhe Balozi Dkt Batilda Burian, amewaasa viongozi wa dini kudhibiti na kukemea matendo maovu yanayochangia upotevu wa amani, umoja na mshikamano nchini.

Mhe Balozi Dkt Burian, ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini jijini Tanga, Machi 29, 2025.

Amesema, pamoja na jukumu msingi ya viongozi hao kuombea amani ya nchi, wanapaswa, kila wanapobaini ukiukwaji wa misingi ya haki na umoja, wakemee kwa nguvu zote ili amani na mshikamano vidumu nchini.

"Niwaombe viongozi wa dini kuendelea kuombea amani ya nchi, lakini mtakapowabaini watu wenye nia ovu ya kuanzisha chokochoko, ni vema mkawaonya na kuishirikisha Serikali ili tuweze kuwadhibiti,"amesema Mhe Balozi Dkt Batilda.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoa wa Tanga, Sheikh Juma Luuchu amewataka waumini wa dini zote kuendeleza matendo mema waliyoyashiriki kipindi cha mfungo wa Ramadhani na Kwaresma.

Alisema waumini hao wanapaswa daima, kudumisha amani hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani utakaofanyika baadaye mwaka huu.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RC TANGA AMKABIDHI GARI MPYA MKUU WA WILAYA YA HANDENI

    July 12, 2025
  • RAS TANGA ASISITIZA UWEKEZAJI KWENYE MALEZI, MAKUZI YA MTOTO

    July 09, 2025
  • PINDA AHIMIZA USHIRIKIANO ENDELEVU WA SERIKALI, WANANCHI

    July 09, 2025
  • SARUJI TANGA YAKABIDHI BAJAJI ZA UMEME 10 KWA BALOZI BATILDA

    July 03, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.