• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

CCM TANGA YASEMA, KWA MAKONDA ZEGE HALILALI

Imewekwa tarehe: January 19th, 2024

CCM TANGA YASEMA, KWA MAKONDA ZEGE HALILALI  

 

Na Mashaka Mgeta, TANGA

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Selemani Sankwa, amesema Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Paul Makonda, atatumia falsafa ya ‘zege halilali’ kutatua kero sugu zinazowakabili wananchi katika ziara yake inayoanza hii Jumamosi mkoani humu.

Ndugu Sankwa ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisi kwake leo Ijumaa ya Januari 19, 2024, kutoa taarifa ya ziara ya Ndugu Makonda itakayoanza Januari 20 hadi 22, mwaka huu.

‘’Miongoni mwa malengo ya ziara hii ni kusikiliza kero za wananchi kwenye maeneo atakayopita na wale watakaotoka sehemu nyingine kuja kuhudhuria mikutano yake…utatuzi huo unafanyika kwa falsafa ya zege halilali, yaani kila kero inapatiwa ufumbuzi hapo hapo,’’ amesema huku akihimiza wananchi kujitokeza kwa wingi.

Kwa mujibu wa Sankwa, malengo mengine ya ziara hiyo itakayoanzia Mkata wilayani Handeni, Pangani, Tanga Mjini, Muheza, Handeni na kumalizikia Korogwe, ni kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM, miradi ya maendeleo na uhai wa chama hicho kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji baadaye mwaka huu.

Sankwa amesema katika ziara hiyo, Ndugu Makonda atakagua ujenzi wa daraja la Mto Pangani kisha kufanya mikutano ya hadhara jijini Tanga, Muheza, Segera na kumalizia Korogwe.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RAS MCHATTA: SINA MANENO MENGI, NIPIMENI KWA KAZI, UWAJIBIKAJI

    June 30, 2025
  • BALOZI BATILDA AAGIZA WAKUU WA WILAYA KUSIKILIZA KERO, AWAAPISHI WAWILI TANGA

    June 30, 2025
  • RC BATILDA ATAKA MAADILI, UTAWALA BORA KUIMARISHWA SERIKALINI

    June 25, 2025
  • MIAKA MINNE, SIKU 23 ZA RAS MNYEMA TANGA, AHAMISHIWA PWANI

    June 24, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.