• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

MGUMBA AIPONGEZA COASTAL UNION, ATAKA VIPIGO VIENDELEE

Imewekwa tarehe: February 21st, 2023

MGUMBA AIPONGEZA COASTAL UNION, ATAKA VIPIGO VIENDELEE



Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba, ameupongeza uongozi wa Coastal Union kwa timu hiyo kuichapa Mbeya City goli 1-0 na kuwataka waendeleze vichapo katika mechi zijazo za Ligi Kuu.


Akizungumza na baadhi ya viongozi wa Coastal Union leo asubuhi ofisini kwake,  amewapongeza kwa ushindi huo uliopatikana mwishoni mwa wiki iliyopita katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani na kutoa  shilingi 500,000 kama mchango wake katika maandalizi ya mchezo ujao.


"Hongereni kwa ushindi. Nimefurahi sana na naomba dozi ziendelee kwenye mechi zinazofuata na natoa kiasi hiki cha fedha kama sehemu ya kuongeza nguvu katika maandalizi ya mchezo ujao," amesema Mgumba.



"Kutokana na kuwa na shughuli nyingi sikuweza kuja mchezo uliopita kama nilivyoahidi ila mechi ijayo nitakuja kuzungumza na wachezaji na nitakuwepo uwanjani," ameongeza mkuu wa mkoa.


Baada ya ushindi huo Coastal Union wanakuwa na pointi 22 na kusogea nafasi ya 13 na Jumamosi hii watakuwa Uwanja wa Mkwakwani kuikaribisha Tanzania Prisons. 

Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA SHULE ZILIZOPO MKOA WA TANGA 2021 December 21, 2020
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI -FIRST SELECTION 2022 May 14, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MGUMBA ATEMBELEA VIWANDA

    February 23, 2023
  • MGUMBA AIPONGEZA COASTAL UNION, ATAKA VIPIGO VIENDELEE

    February 21, 2023
  • MGUMBA AWAFUNDA WAKUTUBI

    February 21, 2023
  • Naibu Waziri wa Mifugo azulu Tanga

    February 20, 2023
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.