• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

MIAKA MINNE, SIKU 23 ZA RAS MNYEMA TANGA, AHAMISHIWA PWANI

Imewekwa tarehe: June 24th, 2025

Na Mashaka Mgeta, OMM TANGA

UTEUZI na mabadiliko ya viongozi mbalimbali yaliyofanywa Juni 23, 2025 na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ’yamemgusa’ aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa (RAS) wa Tanga, Pili MnyemaN(pic, anayehamia mkoa wa Pwani.

Mnyema anachukua nafasi ya Rashid Kassim Mchata, aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Pwani ambaye anahamia Tanga. Ni sawa na kusema, mabadiliko hayo yamewafanya wawili hao ’kubadilishana’ vituo vya kazi.

Mnyema aliteuliwa kuwa RAS wa Tanga Mei 29, 2021 na kuapishwa Juni 2, 2021 saa 4:00 asubuhi, Ikulu Chamwino jijini Dodoma, pamoja naye, wakiwemo wateuliwa kadhaa wa nafasi hiyo, miongoni mwao ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe Balozi Dkt Batilda Burian, aliyeteuliwa kuwa RAS wa Shinyanga.

Baadaye yaani Julai 28, 2022, Balozi Dkt Batilda aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora na Machi 9, 2024 akahamishiwa mkoa wa tanga anapoendelea na wadhifa huo hadi sasa.

Mbali na Mnyema, viongozi wengine mkoani Tanga walioguswa na mabadiliko hayo ni aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe Japhari Kubecha aliyehamishiwa wilaya ya Gairo, Katibu Tawala Wilaya (DAS) ya Tanga, Mikaya Dalmia  anayekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni.

Mwingine ni aliyekuwa Afisa Elimu Mkoa (REO) wa Tanga, Newaho Mkisi, aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RAS MCHATTA: SINA MANENO MENGI, NIPIMENI KWA KAZI, UWAJIBIKAJI

    June 30, 2025
  • BALOZI BATILDA AAGIZA WAKUU WA WILAYA KUSIKILIZA KERO, AWAAPISHI WAWILI TANGA

    June 30, 2025
  • RC BATILDA ATAKA MAADILI, UTAWALA BORA KUIMARISHWA SERIKALINI

    June 25, 2025
  • MIAKA MINNE, SIKU 23 ZA RAS MNYEMA TANGA, AHAMISHIWA PWANI

    June 24, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.