• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

SERIKALI WILAYA YA KOROGWE YAMPONGEZA MH.SAMIA SULUHU HASSAN

Imewekwa tarehe: December 15th, 2022

Serikali Wilayani Korogwe Mkoani Tanga imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu wa kuendeleza zaidi sekta ya elimu na kuboresha miundombinu yake ili kuwawekea mazingira rafiki wanafunzi kuweza kujifunza.


Pongezi hizo zimetolewa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Korogwe Rahel Mhando ambae alimwakilisha Mkuu wa wilaya hiyo katika ufunguzi wa mafunzo ya Mradi wa Shule Bora kwa waandishi wa habari wa Mkoa wa Tanga uliofanyika wilayani humo.


“Ari kubwa ya Mhe. Rais ni kuhakikisha kuwa na miundombinu ya uhakika kuwatosheleza wanafunzi kuweza kusoma katika mazingira mazuri alisema Mhando.

Aidha Mhando alimpongeza Rais Dkt Samia kwa kuahirisha sherehe za Maadhimisho ya Uhuru na kuzipeleka fedha hizo kwenye ujenzi wa mabweni katika shule mbalimbali nchini.

Naye Afisa Elimu wa mkoa wa Tanga Niwaho Mkisi amewataka waandishi wa habari waliopata mafunzo kuhakikisha kwa pamoja wanautangaza mradi wa shule bora kwa kuleta manufaa na mageuzi makubwa katika sekta ya elimu nchini.

Mradi wa Shule Bora umelenga kuinua kiwango cha elimu jumuishi pamoja na kuweka mazingira salama na rafiki katika shule za serikali za awali na msingi nchini, ambapo kiasi cha shilingi Bilioni 271 zitatumika katika utekelezaji wa mradi mpaka ifikapo 2027.

Mwisho

Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA SHULE ZILIZOPO MKOA WA TANGA 2021 December 21, 2020
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI -FIRST SELECTION 2022 May 14, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WATUMISHI OFISI YA MKOA WA TANGA WATEMBELEA MBUGA YA MKOMAZI

    December 23, 2022
  • SERIKALI WILAYA YA KOROGWE YAMPONGEZA MH.SAMIA SULUHU HASSAN

    December 15, 2022
  • MKUTANO WA TATU WA WADAU WA SEKTA YA MKONGE WAFANYIKA TANGA

    December 15, 2022
  • HANDENI YAKAMILISHA MADARASA

    December 15, 2022
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.