• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

SERIKALI YABORESHA HUDUMA ZA AFYA KUPITIA WAHUDUMU WA NGAZI YA JAMII TANGA

Imewekwa tarehe: February 5th, 2025

WIZARA ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais (TAMISEMI) inatekeleza mpango wa matibabu ya awali kwa wahudumu wa afya ngazi ya jamii 440, kupitia taasisi ya Benjamin Mkapa.

Kupitia mpango huo, wahudumu hao wamepewa vifaa tiba vitakavyosaidia  kuboresha huduma kwa wakazi wa halmashauri za jiji la Tanga na Handeni Mji, hivyo kubaini na kupunguza changamoto zinazohusiana na masuala ya afya.

Kwa mkoa wa Tanga, mpango huu unaofadhiliwa na Ireland, unagharimu zaidi ya Shilingi milioni 122 na tayari umeshatekelezwa katika mikoa 12 na halmashauri 21  nchini.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe Balozi Dk Batilda Burian, amesema  mpango huo utaboresha afua za lishe na afya kwa jamii.

Aidha, amewaagiza wahudumu hao kutekeleza majukumu yao kwa weledi, ili kufanikisha lengo la Serikali la kuboresha afya kwa wote.

Baadhi ya huduma zitakazotolewa kupitia mpango huu ni pamoja na elimu ya afya kwa jamii, huduma za kinga, afya ya mama, mtoto na vijana, huduma tembezi ya mkoba, pamoja na matibabu ya magonjwa ya kuambukiza.

Kupitia mpango huo, wananchi wanatarajiwa kupata huduma bora zaidi za afya moja kwa moja katika jamii zao, hivyo kuimarisha ustawi wa afya nchini.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BALOZI BATILDA AHIMIZA UMOJA, MSHIKAMANO TANGA

    June 18, 2025
  • RAS TANGA 'AWASHUKIA' WATUMISHI WANAOISHI NJE YA VITUO VYA KAZI

    June 18, 2025
  • BILIONI 1.9 ZINAVYOIINGIZA TANGA KWENYE MALIPO YA KABLA YA MATUMIZI YA MAJI

    June 17, 2025
  • MWENGE WAONYA: MSIHARIBU MIUNDOMBINU, SERIKALI HAIJALALA

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.