• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

Shirika la ndege nchini ATCL linatarajia kuanzisha safari za ndege Mkoani Tanga baada ya kuona maboresho mbalimbali ya miundombinu na fursa za kiuchumi zinazoendelea mkoani humo ikiwa ni pamoja na kuunganisha usafiri wa anga kwenye sekta ya Utalii.

Imewekwa tarehe: May 14th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la ndege nchini Ladislaus Matindi amesema hayo mara baada ya ziara yake ya aiku moja kukagua Uwanja wa Ndege huo kwaajili ya kupokea ndege kubwa.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima alisema kuwa kuboreshwa kwa uwanja wa Tanga kutawezesha Mkoa wa Tanga kuwa kiunganishi wa safari za ndege kutoka mikoa mingine jambo ambalo pia itafungua uchumi wa kiutali kwa kaisi kubwa zaidi.

"Ujenzi wa miradi ya kimkakati Mkoani Tanga ikiwemo upanuzi wa Bandari pamoja na Bomba la Mafuta utaongeza fursa za wawekezaji ambao watatumia safari za anga mara kwa mara" amefafanua zaidi.

Picha: Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Ladislaus Matindi, akimwonyesha Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima ( kulia ) ukubwa wa eneo la Uwanja wa Ndege wa Tanga linalotakiwa katika upanuzi wa kiwanja hicho ili ndege kubwa ziweze kutua

Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA SHULE ZILIZOPO MKOA WA TANGA 2021 December 21, 2020
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI -FIRST SELECTION 2022 May 14, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MGUMBA ATEMBELEA VIWANDA

    February 23, 2023
  • MGUMBA AIPONGEZA COASTAL UNION, ATAKA VIPIGO VIENDELEE

    February 21, 2023
  • MGUMBA AWAFUNDA WAKUTUBI

    February 21, 2023
  • Naibu Waziri wa Mifugo azulu Tanga

    February 20, 2023
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.