• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

TANGA WAMIMINIKA URITHI WETU KUMUOMBEA DUA RAIS SAMIA, TANZANIA

Imewekwa tarehe: December 31st, 2024

Na Mashaka Mgeta, OMM TANGA

MAELFU ya wakazi wa mkoani Tanga, leo Desemba 31, 2025, wameingia siku ya nne ya Tamasha la Urithi Tanga kwa kumuombea dua Mhe Rais Dk Samia Suluhu Hassan; na Tanzania kwa ujumla.

Viongozi 20 wa madhehebu na taasisi za dini mbalimbali, wamewaongoza wakazi hao waliokutana kwenye viwanja vya ‘Urithi Wetu’, wakiwa na Mkuu wa Mkoa, Mhe Balozi Dk Batilda Burian na Katibu Tawala Mkoa, Pili Mnyema.

Viongozi hao na taasisi husika kwenye mabano ni Shehe wa Mkoa, Juma Luwuchu (Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoa), Mchungaji Samwel William (Nayothi Assemblies of God), Mchungaji Leonard Haule (Bethania Christian Church), Wachungaji Anton Mwaisaka  na Lucas Stephen (PAG), Shehe Omar Sinde ( Fadhila Njombe Mpirani), Mchungaji Elizabeth Bayo (Bethan – Donge), Mchungaji Daniel Msumary (Katibu wa Kamati ya Amani Mkoa) na Mtumishi Richard Meda (Kanisa la Jesami),

Wengine ni Shehe Juma Bakari (Katibu wa Baraza la Mashehe Mkoa), Shehe Ayoub Yusuph (Mwenyekiti wa Halmashauri ya BAKWATA  Mkoa), Shehe Alhaj Bawazir (Mwenyekiti wa Wazee Tanga), Shehe Mohamed Dhikri (Katibu TAMTA), Shehe Musa Kunema (Mwenyekiti Shamsi Maarifa), Shehe Baamini (Mkuu wa Madrasa Irishadi), uongozi wa Zahra Madrasa na Shehe Musa Faki (Naibu Jahamia Islamia) na Wachungaji Gabriel Christopher, Andrew Mndeme na Henry Mnango  (Sabato),

Shehe Luwuchu amesema umuhimu wa dua kwa Mhe Rais Dk Samia, unatokana na ukubwa na uzito wa kazi na majukumu aliyonayo katika kuwaongoza raia wanaokadirwa kuwa zaidi ya milioni 60.

‘’Zipo familia zenye watoto wachache kama watatu hivi, lakini inakuwa nguvu kwa wazazi kumudu kuziongoza, sasa inakuwaje kwa Mh Rais anayewaongoza Watanzania zaidi ya milioni 60….tunapaswa kumuombea na kuiombea nchi yetu,’’ amesema.

Shehe Luwuchu amesema, uhakika wa taifa kuwa na utulivu endelevu utapatikana ikiwa wazazi na walezi watawekeza katika kuwalea na kuwaelekeza watoto katika misingi ya amani ya kudumu.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BALOZI BATILDA AHIMIZA UMOJA, MSHIKAMANO TANGA

    June 18, 2025
  • RAS TANGA 'AWASHUKIA' WATUMISHI WANAOISHI NJE YA VITUO VYA KAZI

    June 18, 2025
  • BILIONI 1.9 ZINAVYOIINGIZA TANGA KWENYE MALIPO YA KABLA YA MATUMIZI YA MAJI

    June 17, 2025
  • MWENGE WAONYA: MSIHARIBU MIUNDOMBINU, SERIKALI HAIJALALA

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.