• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

WAANDISHI DODOMA WAVUTIWA NA MAENDELEO YA TANGA, WAALIKWA KUFANYA ZIARA

Imewekwa tarehe: July 17th, 2025

Na Mashaka Mgeta, DODOMA

HISIA zilizohifadhiwa kwenye mtima wao ziliwazidi, wakafunguka, wakacheka, wakafurahi baada ya kusikia taarifa ya maendeleo ya Mkoa wa Tanga katika kipindi cha utawala wa Awamu ya Sita wa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. 

Hao ni Waandishi wa Habari waliohudhuria mkutano ulioitishwa na Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali, kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe Balozi Dkt Batilda Burian, kuzungumza nao jijini Dodoma jana Julai 15, 2025. 

Baada ya uwasilishaji wa taarifa ya Mhe Balozi Dkt Batilda kisha kupokea maswali na kuyajibu kwa kina, Waandiishi wa Habari walionesha nyuso za bashasha, wakifurahia na wengine wakisikika kusema, “Tanga mnatisha.”

Hali hiyo inamuibua Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Jonas Kamaleki aliyeongoza mjadala huo, kwa niaba ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, Kamaleki akasema, furaha iliyooneshwa na Waandishi wa Habari baada ya hotuba ya Mhe Balozi Dkt Batilda, ni ishara ya kukubalika na kada hiyo umuhimu katika sekta ya habari mawasiliano.

Kwa maelezo hayo, Mhe Balozi Dkt Batilda akawashukuru Waandishi wa Habari na kuwapa mwaliko wa kufanya ziara ya kikazi mkoani Tanga, ili kujionea hatua kubwa za maendeleo zilizopigwa katika utawala wa Mhe Rais Dkt Samia.

Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAANDISHI DODOMA WAVUTIWA NA MAENDELEO YA TANGA, WAALIKWA KUFANYA ZIARA

    July 17, 2025
  • RC BATILDA:ONGEZEKO LA WATU TANGA ISHARA YA UBORA WA HUDUMA ZA FYA, USTAWI WA JAMII

    July 17, 2025
  • TANGA TUNA UTOSHELEZI WA CHAKULA - BALOZI BATILDA

    July 17, 2025
  • BALOZI BATILDA ASEMA TANGA INA HIFADHI YA LITA ZA UJAZO MILIONI 210 ZA MAFUTA

    July 17, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.